Skip to main content
Skip to main content

Kenya Kwanza yaendeleza msururu wa kampeni za uchaguzi huko Malava

  • | Citizen TV
    1,905 views
    Duration: 2:11
    Huku zikisalia siku chache kabla ya uchaguzi mdogo wa kiti cha ubunge cha Malava, baadhi ya viongozi wa mrengo wa Kenya Kwanza wameendeleza kampeni kumpigia debe mgombea kiti hicho kwa tiketi ya UDA David Ndakwa.