- 1,703 viewsDuration: 3:08Kenya na Ufaransa zimetia saini mikataba 11 ya makubaliano inayolenga kuleta maendeleo katika sekta za uchukuzi, kilimo na nishati nchini. Baadhi ya makubaliano hayo ni kuboreshwa kwa Bandari ya Mombasa kwa gharama ya shilingi bilioni 104. Tayari vikosi vya kijeshi vya Ufaransa viko nchini baada ya Kenya kuidhinisha ushirikiano wa kijeshi.