Skip to main content
Skip to main content

Kenya ni miongoni mwa mataifa 9 kati ya 11 Afrika katika mpango wa Sanlam–Allianz

  • | Citizen TV
    449 views
    Duration: 1:27
    Kenya ni mojawapo ya nchi 9 kati ya 11 Barani Afrika zilizounganishwa chini ya mpango wa Sanlam–Allianz. Sanlam Allianz imezindua utambulisho wake mpya, huku Bima ya Jumla, Bima ya Maisha, na Uwekezaji zikifanya kazi kwa uhuru chini ya kundi hilo.