Skip to main content
Skip to main content

Kenya yaanza vyema Kombe la Afrika la Hockey 5s

  • | Citizen TV
    80 views
    Duration: 1:41
    Timu ya magongo ya Kenya ya vijana wasiozidi miaka 18 imeanza vyema mashindano ya Kombe la Afrika la Vijana kwa ushindi mara mbili katika siku ya kwanza ya mashindano yanayoendelea katika klabu ya Sikh Union.