Skip to main content
Skip to main content

Kenya yailaza The Gambia 3-1 na kupata tiketi ya kombe la Africa

  • | Citizen TV
    2,708 views
    Duration: 1:41
    Timu ya taifa ya wasichana ya Harambee Starlets imeizaba timu ya the Gambia mabao matatu kwa moja katika mechi ya mkondo wa kwanza ya duru ya mwisho ya kusaka tiketi ya kufuzu kombe la Afrika iliyochezwa kwenye uwanja wa Nyayo