Skip to main content
Skip to main content

Kenya yajiandaa kudhibiti kuenea kwa virusi vya ugonjwa wa Ebola

  • | KBC Video
    154 views
    Duration: 3:14
    Dkt. Fredrick Eyase, mtafiti mkuu katika kituo cha utafiti wa Virusi cha taasisi ya utafiti wa matibabu humu nchini (KEMRI), amesema kuwa maandalizi ya mapema na mawasiliano ni muhimu katika kudhibiti kuenea kwa virusi vya ugonjwa wa Ebola. Eyase, ambaye alizungumza na runinga ya Channel 1, amesema kuwa serikali iko kwenye njia sahihi katika kuanzisha vituo vya karantini pamoja na kuimarisha uwezo wa wahudumu wa afya na mifumo ya afya katika ufuatiliaji wa virusi hivyo vya ugonjwa huo. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive