Skip to main content
Skip to main content

Kesi ya mauaji ya Albert Ojwang yaendelea mahakama kuu ya Kibera

  • | Citizen TV
    255 views
    Duration: 56s
    Kesi ya mauaji ya mwalimu na mwanablogu Albert Omondi Ojwang imeendelea leo katika Mahakama Kuu ya Kibera huku shahidi aliyelindwa wa upande wa mashtaka akiendelea kuiongoza mahakama kupitia picha za kamera za usalama, CCTV, zilizorekodiwa katika Kituo cha Polisi cha Nairobi Central usiku wa tarehe 7 kuamkia tarehe 8 Juni mwaka 2025.