- 2,064 viewsDuration: 1:19Kesi ya mauwaji ya halaiki huko shakahola dhidi ya mhubiri tata Paul Mackenzie imeendelea katika mahakama ya mombasa huku mtaalam wa masuala ya sheria anayewakilisha upande wa mashataka everylne asaala akitoa mwongozo wa kesi hiyo.