Skip to main content
Skip to main content

Kesi ya mvuvi Brian Odhiambo: Mahakama haijatoa uamuzi kwa maafisa wa KWS

  • | Citizen TV
    100 views
    Mahakama ya Nakuru itatoa uamuzi kuhusu iwapo maafisa sita wa shirika la huduma za wanyamapori wanaodaiwa kuhusika na kutoweka kwa mvuvi Brian Odhiambo, wana kesi ya kujibu au la, tarehe 3 Machi mwaka huu