Skip to main content
Skip to main content

Kiangazi chasababisha ugomvi wa wakulima na wafugaji Lamu

  • | Citizen TV
    218 views
    Duration: 2:29
    Kutokana na kiangazi kinachoshuhudiwa katika kaunti ya Lamu, mgogoro kati ya wakulima na wafugaji umeibuka. Onyo kali limetolewa kwa wale wanaovunja sheria na kuleta uhasama kati ya pande hizi mbili katika maeneo ya Witu, Lamu.