- 4,076 viewsDuration: 3:06Kizaazaa kimeshuhudiwa leo katika shule ya msingi ya moi jijini Nakuru kufuatia kifo cha ghafla cha mwanafunzi wa gredi ya 8. Maswali yameibuka kuhusu kifo cha Moses Joseph, aliyeripotiwa kuaga dunia alipohamishwa kutoka shuleni hadi hospitalini.