- 3,247 viewsDuration: 3:02Hofu imegubika vijiji vya kaunti ya Lamu kufuatia kuchipuka kwa magenge ya vijana wanaoshambulia watu kwa mapanga. Kisa cha hivi punde kikisababisha kuuawa kwa kijana mmoja huku wengine sita wakiendelea kuuguza majeraha baada ya kushambuliana kwa mapanga katika kisiwa cha Amu. Visa hivi vikiripotiwa katika muda wa wiki moja iliyopita