- 732 viewsDuration: 2:38Kijiji cha Thayo eneobunge la Bahati kaunti ya Nakuru kimeendelea kuomboleza vifo vya watu watatu walioangamia kwenye ajali ya barabarani eneo la kariandusi Ijumaa usiku. Kijiji hiki kinaomboleza huku idadi ya waliofariki kwenye ajali hiyo ikifikia watu 11 baada ya mtu mmoja aliyekuwa hospitalini kuaga dunia.