Skip to main content
Skip to main content

Kijiji cha Tswaka kina mapango yenye aina 13 ya popo

  • | Citizen TV
    1,481 views
    Duration: 4:03
    Kijiji cha Tswaka kaunti ya Kwale kuna mapango matatu ambayo ni makao ya zaidi ya aina kumi na tatu za popo wakiwemo popo weupe, kivutio ambacho pengine wananchi hawafahamu lakini eneo lenye maelfu ya popo ambalo limevutio watalii, wanafunzi na wanasayansi wanaofanya tafiti mabalimbali.