Skip to main content
Skip to main content

Kindiki akutana na viongozi kutoka Kitui

  • | KBC Video
    105 views
    Duration: 3:40
    Naibu Rais Kithure Kindiki ameonekana kutafuta mwafaka na mrengo wa upinzani, akisema serikali iko tayari kufanya kazi na viongozi wote, akiwemo aliyekuwa naibu rais Kalonzo Musyoka. Akizungumza na viongozi wa mashinani kutoka kaunti ya Kitui, Kindiki alisema Kalonzo anakabiliwa na hatari ya kupoteza mwelekeo wake kisiasa iwapo ataendelea kujihusisha na viongozi aliowatuhumu kwa kueneza siasa za ukabila na migawanyiko. Huyu hapa ni ripota wetu Abdiaziz Hashim na maelezo ya taarifa hii kwa kina. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive