- 945 viewsDuration: 1:26Naibu Rais Kithure Kindiki sasa anamtaka kinara wa chama cha PNU Peter Munya, mwenzake wa DP Justin Muturi na kinara wa chama cha BUS Lenny Kivuti kujiunga na serikali kufuatia tofauti zinazoshuhudiwa kati yao na kinara wa DCP, Rigathi Gachagua.