- 23 views
Naibu Rais Kithure Kindiki amesema yuko tayari kumtafuta kiongozi wa chama cha Wiper Kalonzo Musyoka kwa ajili ya mazungumzo na mashauriano kuhusiana na miradi ya maendeleo katika eneo la Ukambani, akisema kwamba hakuna uadui wa kisiasa baina yao. Akizungumza mjini Wote katika kaunti ya Makueni, Profesa Kindiki alisema serikali itashirikiana na viongozi wote bila kujali mirengo ya kisiasa. Kindiki pia aliahidi kufufua miradi yote iliyokwama katika eneo hilo ukiwemo ujenzi wa barabara ya Emali-Ukia RUN VCR;; Kindiki yuko katika ziara ya Ukambani akiendeleza vikao vya uhamasishaji.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Kindiki : Niko tayari kumtafuta Kalonzo kwa ajili ya mazungumzo
- - 🔴 TV47 Live ››
- 12 Jul 2025 - Four crew members of a cargo ship attacked and sunk by Yemeni rebels earlier this week are presumed dead, an EU naval force said Friday, with search operations ongoing in the Red Sea.
- 12 Jul 2025 - Dreams of 23-year-old man brutally cut short by a trigger-happy police officer.
- 12 Jul 2025 - Raila blasts Ruto over order to shoot protesters
- 12 Jul 2025 - Lawyer Pheroze Nowrojee: Legal luminary who fought for justice
- 12 Jul 2025 - Grief turns to outcry during slain hawker Boniface Kariuki's funeral
- 12 Jul 2025 - How goat feasts turn Maasai men into trusted family planning champions
- 12 Jul 2025 - PHOTOS: Kamba folk songs dominate Rift Valley Regional Music Festivals
- 12 Jul 2025 - Education system: Why sex abuse victims stay silent for decades
- 12 Jul 2025 - Low public trust levels, voter apathy, and technology queries among keys issues the new offices needs to tackle.
- 12 Jul 2025 - In countrywide demonstrations, youth have been demanding an end to ‘bad governance,’ brazen corruption, impunity and police brutality. And they want jobs