Skip to main content
Skip to main content

Kisa cha mwanamke aliyesafirishwa kwa jailli ya maonesho

  • | BBC Swahili
    66,749 views
    Duration: 1:49
    Sarah Baartman: Mwanamke Mwafrika Kusini aliyedanganywa, kusafirishwa Ulaya, kudhalilishwa na kudhulumiwa utu wake. Leo hii anakumbukwa kama ishara ya mapambano ya heshima ya mtu mweusi, utu, na haki. Kwa urefu wa makala hii, tembelea ukurasa wetu wa YouTube. #bbcswahili #AfrikaKusini #sarahbaartman Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw