"Walimu wana haki ya kupokea kile kinachostahili kutoka kwa wizara ya elimu kwa sababu wao ni nguzo kuu ya uchumi wa Kenya. Ikiwa hawatapata huduma bora, maendeleo katika sekta ya elimu hayatakuwa bora. Haki ya kufanya maandamano ni yao ili serikali iweze kuona umuhimu wao na ni njia mojawapo ya kuonyesha malalamiko na kuhamasisha hatua za kisera zinazohitajika." - Mkazi, Kisumu
#TV47Matukio
Thank you for watching this video. Kindly subscribe for more content from 'Home of The Untold Stories.'
*About TV47*
'TV47 is on GOtv (Channel 102), DStv (Channel 268), SIGNET, Gotv, BAMBA and STARTIMES.
__
For Breaking News, kindly subscribe by sending ‘NEWS’ to 22047.
__
Connect with us:
Website: https://www.tv47.digital/
Facebook: https://www.facebook.com/TV47KE
Twitter: https://twitter.com/tv47news
Instagram: https://www.instagram.com/tv47ke/
TikTok: https://www.tiktok.com/@tv47_ke
Telegram: https://t.me/tv47_ke
WhatsApp: 0797 047 047
__