- 40 views
Maandalizi ya makala ya 9 ya kongamano la ugatuzi la mwaka 2025 linalotarajiwa kuandaliwa katika kaunti ya Homabay kutoka tarehe 12 hadi 15 mwezi Agosti,yameanza. Kamati ya ugatuzi inayoongozwa na gavana Mutahi Kahiga imesema kongamano hilo pia litahusisha matukio ya ushirikiano kwa lengo la kuwapa wajumbe uzoefu. Kongamano hilo la kila mwaka huthaminiwa kutokana na umuhimu wake katika kuangazia manufaa ya ugatuzi nchini Kenya na pia kama jukwaa maalum la kubadilishana maarifa ili kuimarisha utekelezwaji wa ugatuzi. Kaulimbiu ya mwaka huu ni: ugatuzi ni kichocheo cha usawa, ushirikishwaji na haki ya kijamii’
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Kongamano kuhusu ugatuzi mwaka huu kuandaliwa Homa Bay
- 6 Jul 2025 - Japan's government on Saturday warned of more possible strong earthquakes in waters southwest of its main islands, but urged the public not to believe unfounded manga comic-book predictions of a major disaster.
- 6 Jul 2025 - Traders affected by the recent demonstrations held in honour of victims of last year’s anti-Finance Bill protests are now struggling to rebuild their lives and livelihoods.
- 6 Jul 2025 - Deputy President Kithure Kindiki and other leaders backing the broad-based government have intensified attacks on the opposition, calling for unity to heal the nation.
- 6 Jul 2025 - The High Commission of Rwanda in Kenya has marked 31 years of liberation — a commemoration of the country’s remarkable transformation, from a painful past under an oppressive regime to a future defined by unity, progress, and resilience.
- 6 Jul 2025 - Parliament's CDF coup: The Senate should halt this constitutional heist
- 6 Jul 2025 - Opposition leaders slam Ruto over state house church plans
- 6 Jul 2025 - Saba Saba's long harvest and why struggle is never wasted
- 6 Jul 2025 - Joho leads Coast MPs in Ruto campaign
- 6 Jul 2025 - Mr President you risk bringing idolatry in church, State House
- 6 Jul 2025 - Kenya today: An angry nation sliding towards self-destruction