- 260 viewsDuration: 2:52Kongamano hilo litakaloanza kesho na kuwajumuisha zaidi ya wajumbe elfu tatu linatarajiwa kuimarisha uhusiano mpya kati ya Afrika na washirika wa kimataifa. Mataifa ya Afrika yanatarajiwa kuafikia ushirikiano wa kibiashara na uwekezaji kupitia mkutano huo. Hata hivyo, mashirika ya kijamii yamehoji ari na nia ya mataifa yanayoshiriki kongamano hilo.