- 867 viewsKwa mara ya kwanza, konokono huyu akitoa yai kutoka chini ya kichwa chake amerekodiwa, kwa mujibu wa shirika la uhifadhi la New Zealand. Konokono hawa hupatikana tu New Zealand, hasa katika misitu na maeneo ya miinuko yenye nyasi, ambapo wanakabiliwa na hatari ya kupoteza makazi yao. Sehemu kubwa ya makazi yao imeharibiwa na uchimbaji madini. Wengi wao, kama huyu, huwekwa kwenye hifadhi baridi yenye mazingira yanayofanana na asilia yao ili kusaidia kuhifadhi spishi hiyo, ambayo huzaliana polepole na haizoei mazingira mapya kwa urahisi. #bbcswahili #newzealand #mzingia Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
Konokono adimu atoa yai
- - Tamati ››
- 10 May 2025 - The Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) has inserted a proviso in the ongoing Ksh.200 million graft probe involving the Busia County Government, prohibiting further transactions in the disputed land pending the completion of investigations.
- 10 May 2025 - The National Police Service (NPS) has restored traffic flow following a 15-hour gridlock along the Nairobi-Nakuru Highway that had forced motorists to spend the night on the road.
- 10 May 2025 - The Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) has reaffirmed its commitment to a proactive and tech-driven approach to intensify the fight against graft.
- 10 May 2025 - West Kenya Sugar Company under the stewardship of Chairman Jaswant Rai has officially taken over operations at Nzoia Sugar Factory in a move expected to breathe new life into the ailing mill.
- 10 May 2025 - Over 400 residents of Kibera in Nairobi County have received free medical services during a health outreach held to commemorate World Red Cross and Red Crescent Day.
- 10 May 2025 - Bumula Member of Parliament (MP) Wanami Wamboka has launched a scathing attack on the leaders of the Western region over what he termed as failing in their leadership mandate. Speaking on Saturday, May 10, 2025, during a burial ceremony, Wamboka decried…
- 10 May 2025 - RCNH is a group of goodwill individuals whose aim is ensuring sustainable and lasting change in society.
- 10 May 2025 - Nightmare for travellers as traffic snarl-up disrupt movement on busy highway.
- 10 May 2025 - Opposition leaders Kalonzo Musyoka and Eugene Wamalwa have slammed President William Ruto for allegedly attempting to control the IEBC ahead of the 2027 elections.
- 10 May 2025 - He said 1,035 medical officer interns have been balloted for placement begining from July 2025.