- 393 views
Mamlaka ya ushuru -KRA- imesema kuwa haina uwezo wa kisheria kufutilia mbali deni la shilingi bilioni 36.7 ambazo kampuni za sukari humu nchini zinadaiwa. Kwenye kikao cha pamoja cha kamati za bunge kuhusu fedha na kilimo, kamishna wa ushuru Rispah Simiyu alisema kuwa sheria ya fedha ya mwaka 2023 ilifutilia mbali uwezo wa KRA kuchukua hatua kama hizo. simiyu hata hivyo amesema kuwa KRA ina uwezo wa kufutilia mbali faini na riba zinazotokana na kutolipwa kwa madeniyaliyokuwepo kabla ya iwsho wa disemba 2022.kampuni ya Mumias sugar inadaiwa shilingi bilioni 20.2 B za malimbikizi ya ushuru, Nzoia shilingi bilioni 7.2, Muhoroni shilingi bilioni 3.2, Sony shilingi bilioni 3.2, Chemelil shilingi bilioni 2.8 na Miwani shilingi bilioni 2.1.
KRA yasema haiwezi kufutilia mbali madeni ya kampuni za sukari
- 6 Jul 2025 - Japan's government on Saturday warned of more possible strong earthquakes in waters southwest of its main islands, but urged the public not to believe unfounded manga comic-book predictions of a major disaster.
- 6 Jul 2025 - Traders affected by the recent demonstrations held in honour of victims of last year’s anti-Finance Bill protests are now struggling to rebuild their lives and livelihoods.
- 6 Jul 2025 - Deputy President Kithure Kindiki and other leaders backing the broad-based government have intensified attacks on the opposition, calling for unity to heal the nation.
- 6 Jul 2025 - The High Commission of Rwanda in Kenya has marked 31 years of liberation — a commemoration of the country’s remarkable transformation, from a painful past under an oppressive regime to a future defined by unity, progress, and resilience.
- 6 Jul 2025 - Parliament's CDF coup: The Senate should halt this constitutional heist
- 6 Jul 2025 - Opposition leaders slam Ruto over state house church plans
- 6 Jul 2025 - Saba Saba's long harvest and why struggle is never wasted
- 6 Jul 2025 - Joho leads Coast MPs in Ruto campaign
- 6 Jul 2025 - Mr President you risk bringing idolatry in church, State House
- 6 Jul 2025 - Kenya today: An angry nation sliding towards self-destruction