- 25,132 viewsDuration: 1:57Polisi wafunga barabara kuu jijini Nairobi huku Kenya ikijiandaa na maandamano ya Gen Z Waandamanaji wanadai haki kwa zaidi ya watu 80 waliouawa wakati wa maandamano ya 2024 na maandamano mengine yaliyofuata baada ya tukio hilo. - - #bbcswahili #Maandamano #kenya #GenZ Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw