29 Apr 2026 1:27 pm | Citizen TV 124 views Huku joto la kisiasa likizidi kupanda taifa linapoelekea uchaguzi mkuu wa mwaka wa 2027, kundi la wanawake kutoka Kaunti ya Murang’a limeamua kuzunguka maeneo mbalimbali kuhamasisha wananchi kudumisha amani, mshikamano na utulivu.