Skip to main content
Skip to main content

Kundi moja Kariobangi latenga siku ya kusherehekea wazee wanaotengwa

  • | KBC Video
    92 views
    Duration: 3:02
    Waswahili husema uzee ni tunu. Ila kwa Wazee wengi, mara nyingi hujipata wakiwa pweke. Hata hivyo, ili kubadilisha simulizi hii, kundi moja huko Kariobangi limetenga siku ya kusherehekea, kuthamini na kurejesha heshima kwa wazee. Mwanahabari wetu Aaron Marie alihudhuria sherehe hizo na kutuandalia taarifa hiyo. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive