Kwa nini watu wengi wamefariki kutokana na mafuriko Afrika Mashariki?
Watu 114 wamefariki katika jimbo la Kivu Kusini huko DRC, ambapo mto Kasaba unaopeleka maji yake katika ziwa Tanganyika umevunja kingo zake na kusababisha mafuriko. Nchini Somalia, mamlaka zimesema kwamba mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa usiku wa Ijumaa yamesababisha vifo vya watu 7 jijini Mogadishu. Nchini Kenya, shirika la msalaba mwekundu limeripoti kwamba makazi elfu 10 yameathiriwa na mvua kubwa inayonyesha hasa katika maeneo ya pwani na kwengineko nchini humo. Na nchini Tanzania, athari ya mvua kubwa imeshuhudiwa mjini Moshi mkoani Kilimanjaro ambapo watu 3 wamepoteza maisha huku nyumba na barabara zikiharibiwa vibaya.
5 Jul 2025
- Doctors have credited the 'folds' with playing a crucial role in one's hearing.
5 Jul 2025
- Gachagua said this during her aunt's burial ceremony.
5 Jul 2025
- ODM was responding to The Standard Media's 'Raila's Turf Rebels' article.
6 Jul 2025
- Japan's government on Saturday warned of more possible strong earthquakes in waters southwest of its main islands, but urged the public not to believe unfounded manga comic-book predictions of a major disaster.
6 Jul 2025
- Traders affected by the recent demonstrations held in honour of victims of last year’s anti-Finance Bill protests are now struggling to rebuild their lives and livelihoods.
6 Jul 2025
- Deputy President Kithure Kindiki and other leaders backing the broad-based government have intensified attacks on the opposition, calling for unity to heal the nation.
6 Jul 2025
- The High Commission of Rwanda in Kenya has marked 31 years of liberation — a commemoration of the country’s remarkable transformation, from a painful past under an oppressive regime to a future defined by unity, progress, and resilience.
6 Jul 2025
- Saba Saba's long harvest and why struggle is never wasted
6 Jul 2025
- Joho leads Coast MPs in Ruto campaign
6 Jul 2025
- Mr President you risk bringing idolatry in church, State House
6 Jul 2025
- Kenya today: An angry nation sliding towards self-destruction
6 Jul 2025
- 35 years later, Saba Saba continues: Meeting of different generations, same script
6 Jul 2025
- Parliament's CDF coup: The Senate should halt this constitutional heist