Skip to main content
Skip to main content

Ligi ya kandanda ya NSL yaanza rasmi huku timu sita zikifungua kampeni kwa ushindi

  • | Citizen TV
    226 views
    Duration: 35s
    Timu sita zimefungua kampeni zao za ligi ya kandanda daraja la pili kwa ushindi huku timu za zamani za ligi kuu ya Kenya zikiongoza mapema katika harakati za kupandishwa daraja hadi ligi kuu ya Kenya.