- 18,474 viewsDuration: 2:37Viongozi wa Linda Mwananchi sasa wameapa kuwa wataungana na viongozi wengine wa upinzani katika safari ya uchaguzi mkuu wa mwaka ujao. Wakiongozwa na Gavana wa Siaya James Orengo, viongozi hao waliokuwa Taita Taveta wamesema kuwa vuguvugu la Linda Mwananchi litahakikisha kuwa Rais Ruto hatapata muhula wa pili wa uongozi.