Skip to main content
Skip to main content

Maafisa wa Kenya waliorejea kutoka Haiti wasimulia changamoto na mafanikio ya huduma yao ya miezi 18

  • | Citizen TV
    15,209 views
    Duration: 2:56
    Maafisa wa polisi wa Kenya waliohudumu nchini Haiti wamesimulia changamoto walizokumbana nazo katika kipindi cha miezi 18 waliyohudumu taifa hilo. Wakizungumza siku moja baada ya kurejea nyumbani, maafisa hao wanasema licha ya kufanya kazi katika mazingira magumu na hatari, walikamilisha wajibu wao kwa mafanikio makbwa