- 273 views
Maafisa wa hazina ya ustawi wa maeneo bunge (NGCDF), wamewaomba wananchi kote kujitokeza kwa wingi kutoa maoni kuhusu mjadala wa kuondolewa kwa hazina hiyo. Hii ni kufuatia uamuzi wa mahakama kuwa NGCDF ni kinyume na sheria. Wakizungumza walipozindua miradi iliyojengwa na hazina hiyo katika shule ya upili ya Nyaisa kaunti ya Nyamira, maafisa hao wamesema hafla za kukusanya maoni zitaandaliwa katika ofisi za maeneo bunge yote nchini kuanzia Jumatatu wiki ijayo.Aidha wabunge hao wanasema hazina hiyo ni muhimu kwa miradi ya maendeleo na ufadhili wa masomo kwa wanafunzi kote nchini.
Maafisa wa NG-CDF wawarai wananchi kujitokeza
- 6 Jul 2025 - Japan's government on Saturday warned of more possible strong earthquakes in waters southwest of its main islands, but urged the public not to believe unfounded manga comic-book predictions of a major disaster.
- 6 Jul 2025 - Traders affected by the recent demonstrations held in honour of victims of last year’s anti-Finance Bill protests are now struggling to rebuild their lives and livelihoods.
- 6 Jul 2025 - Deputy President Kithure Kindiki and other leaders backing the broad-based government have intensified attacks on the opposition, calling for unity to heal the nation.
- 6 Jul 2025 - The High Commission of Rwanda in Kenya has marked 31 years of liberation — a commemoration of the country’s remarkable transformation, from a painful past under an oppressive regime to a future defined by unity, progress, and resilience.
- 6 Jul 2025 - Saba Saba's long harvest and why struggle is never wasted
- 6 Jul 2025 - Joho leads Coast MPs in Ruto campaign
- 6 Jul 2025 - Mr President you risk bringing idolatry in church, State House
- 6 Jul 2025 - Kenya today: An angry nation sliding towards self-destruction
- 6 Jul 2025 - 35 years later, Saba Saba continues: Meeting of different generations, same script
- 6 Jul 2025 - Parliament's CDF coup: The Senate should halt this constitutional heist