- 3,054 views
Maafisa kutoka tume ya maadili na kupambana na ufisadi-EACC wamewakamata maafisa watatu wa polisi wa trafiki wanaohudumu katika mzunguko wa Globe Cinema jijini Nairobi kwa kupokea hongo kutoka kwa waendeshaji magari. Kulingana na EACC, maafisa hao kwa majina Oscar Serem Biwott, Simon Kiplagat na Edwin Benedict walifanikiwa kukusanya jumla ya shilingi 48,250 katika kipindi cha saa mbili pekee kutoka kwa madereva wa magari ya uchukuzi wa umma na waendeshaji pikipiki. Msako huo uliofanywa na makachero wa tume hiyo, uliwezesha kunaswa kwa fedha hizo na maafisa hao kutoka kituo cha polisi cha Central kukamatwa na kupelekwa katika makao makuu ya EACC ambako waliandikisha taarifa.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Maafisa wa polisi wafumaniwa wakila mlungula
- 17 Jul 2025 - A High Court sitting in Busia has allowed petitioners to seek urgent conservatory orders staying the decision of the Kenya Sugar Board (KSB) to temporarily close milling operations in the lower and upper western catchment areas for three months.
- 17 Jul 2025 - A High Court sitting in Busia has allowed petitioners to seek urgent conservatory orders staying the decision of the Kenya Sugar Board (KSB) to temporarily close milling operations in the lower and upper western catchment areas for three months.
- 17 Jul 2025 - A new report has revealed that 7.4 percent of children in Kenya are enrolling in Grade 1 without having passed through Early Childhood Development Education (ECDE), highlighting persistent gaps in foundational learning access across the country.
- 17 Jul 2025 - The victim, identified as Kennedy Okeyo, died while receiving treatment at Jaramogi Oginga Odinga Teaching and Referral Hospital, where he had been transferred from a facility in Ahero following the assault.
- 17 Jul 2025 - The loans and bursaries will target specific students.
- 17 Jul 2025 - The IEBC has so far conducted three General Elections since its creation.
- 17 Jul 2025 - Ruto directed that the order be enforced without delay.
- 17 Jul 2025 - The incident happened on Thursday morning.
- 17 Jul 2025 - Homa Bay Governor Gladys Wanga has accused Controller of Budget (CoB) Margaret Nyakang’o of overstepping her constitutional mandate and taking on tasks she argues fall under the Office of the Auditor-General.
- 17 Jul 2025 - Homa Bay Governor Gladys Wanga has accused Controller of Budget (CoB) Margaret Nyakang’o of overstepping her constitutional mandate and taking on tasks she argues fall under the Office of the Auditor-General.