Skip to main content
Skip to main content

Maafisa wa TSC waongoza zoezi la upanzi wa miti Nyamira

  • | Citizen TV
    86 views
    Duration: 2:08
    Tume ya Huduma za Walimu TSC katika kaunti ya Nyamira imeongoza wadau wa elimu katika kaunti hiyo, kuzindua zoezi linalolenga upanzi wa zaidi ya miche 40,000 wiki hii