- 14,666 viewsDuration: 3:12Wafanyibiashara mtaani Eastleigh wameandamana kulalamikia kutekwa nyara kwa mfanyibiashara mwenzao Shukri Hassan. Wafanyabiashara hawa wakilalamikia kuongezeka kwa visa vya wafanyabiashara kutekwa nyara, wa punde zaidi akiwa Shukri aliyetoweka Jumamosi. Waziri wa Usalama Kipchumba Murkomen amesema idara ya upelelezi inachunguza ongezeko ya visa hivyo.