Madai ya unyanyasaji dhidi ya TB Joshua wa Nigeria.

  • | BBC Swahili
    5,933 views
    Makumi ya waumini wa zamani wa Kanisa la Synagogue Church of all Nations - watano Waingereza - wanadai kufanyiwa ukatili, ikiwa ni pamoja na ubakaji na utoaji mimba kwa lazima, uliofanywa na marehemu TB Joshua wa Nigeria. Madai ya unyanyasaji katika eneo la siri la Lagos yamedumu kwa takriban miaka 20. BBC AfricaEye imechunguza, itakueletea makala nzima hivi karibuni #bbcswahili #upekuziwabbc #BBCAfricaEye Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw