- 103 viewsMaelfu ya watu wamekusanyika katika miji mbalimbali kote Ugiriki Ijumaa kushinikiza haki ifanyike katika maadhimisho ya pili ya ajali mbaya ya treni kuwahi kutokea, huku wafanyakazi katika sekta ya usafiri wa ndege, majini na treni wakigoma. Watu 57 walifariki wakati treni ya abiria iliyokuwa imejaa wanafunzi ilipogongana na treni ya mizigo Februari 28, 2023, karibu na Tempi gorge huko katikati ya Ugiriki Miaka miwili baadaye, mianya ya usalama ambayo ilisababisha ajali hiyo haijatatuliwa, uchunguzi ulionyesha hivyo Alhamisi. Uchunguzi wa kujitegemea wa mahakama bado haujakamilika, na hakuna aliyehukumiwa katika ajali hiyo. Maandamano ya umma yalikuwa yamepangwa kufanyika katika darzeni ya miji kote nchini. Safari zote za ndege za ndani na za kimataifa zilisitishwa wakati waongoza ndege wakiungana na waendesha feri, treni, madaktari, mawakili na waalimu katika mgomo wa jumla wa saa 24 kuwaenzi waathirika wa ajali hiyo. Biashara zilifungwa na majumba ya burudani yalifuta maonyesho. Hadi kufikia asubuhi, maelfu walikuwa wamekusanyika katika Bustani ya Syntagma katikati ya Athens, huku wakisimamiwa na askari wa kuzuia ghasia. Bango moja lilisoma: “Serikali ni wauaji.” Serikali ya mrengo wa kati-kulia ya Waziri Mkuu Kyriakos Mitsotakis ambayo ilishinda tena uchaguzi baada ya ajali ya mwaka 2023, imekabiliwa na ukosoaji mara tena kutoka kwa ndugu wa wahanga kwa kushindwa kuanzisha uchunguzi wa bunge ikiwa ni kuwajibika kisiasa. Serikali imekanusha kufanya makosa yoyote na kusema ni juu ya mahakama kuchunguza ajali hiyo. - Reuters #athens #ugiriki #ajali #treni #mahakama #mgomo #wafanyakazi #ndege #majini #treni
Maelfu ya watu wakusanyika miji mbalimbali kushinikiza haki ifanyike
- 11 Aug 2025 - The Judiciary is now looking to make a closer and safer step into the future of technology with the latest unveiling of a framework that will guide the integration of Artificial Intelligence (AI) tools in enhancing operations at the Judiciary.
- 11 Aug 2025 - The High Court has temporarily stopped the government from implementing a Cabinet decision allowing the duty-free importation of 500,000 metric tonnes of rice.
- 11 Aug 2025 - Interior Cabinet Secretary (CS) Kipchumba Murkomen has reiterated that Democracy for Citizens Party (DCP) leader Rigathi Gachagua must honor the order to record a statement over his remarks on terrorism while in the United States.
- 11 Aug 2025 - Treasury Cabinet Secretary John Mbadi intends to engage officials from the ministry of education over school capitation crisis.
- » Bella Comedy: Viral assault on Kalenjin female comedian sparks outrage, calls for arrest of perpetrator11 Aug 2025 - A disturbing assault caught on video showing a businessman going by the name Pavilion physically attacking a female content creator, Bella Comedy, at the Kutiti Festival at Nairobi's Carnivore Gardens has triggered widespread outrage.
- 11 Aug 2025 - Several banks experienced a decline in their performance, according to a report.
- 11 Aug 2025 - The tortoises grow up to 18cm.
- 11 Aug 2025 - What respondents said in a survey.
- 11 Aug 2025 - Twice a week -- on Mondays and Fridays -- a dedicated team of 10 youth patrol a three-km stretch of Coco Beach, collecting up to 400 kg of waste.
- 11 Aug 2025 - Rice is one of the foods Kenyans consume in large quantities every year.