- 103 viewsMaelfu ya watu wamekusanyika katika miji mbalimbali kote Ugiriki Ijumaa kushinikiza haki ifanyike katika maadhimisho ya pili ya ajali mbaya ya treni kuwahi kutokea, huku wafanyakazi katika sekta ya usafiri wa ndege, majini na treni wakigoma. Watu 57 walifariki wakati treni ya abiria iliyokuwa imejaa wanafunzi ilipogongana na treni ya mizigo Februari 28, 2023, karibu na Tempi gorge huko katikati ya Ugiriki Miaka miwili baadaye, mianya ya usalama ambayo ilisababisha ajali hiyo haijatatuliwa, uchunguzi ulionyesha hivyo Alhamisi. Uchunguzi wa kujitegemea wa mahakama bado haujakamilika, na hakuna aliyehukumiwa katika ajali hiyo. Maandamano ya umma yalikuwa yamepangwa kufanyika katika darzeni ya miji kote nchini. Safari zote za ndege za ndani na za kimataifa zilisitishwa wakati waongoza ndege wakiungana na waendesha feri, treni, madaktari, mawakili na waalimu katika mgomo wa jumla wa saa 24 kuwaenzi waathirika wa ajali hiyo. Biashara zilifungwa na majumba ya burudani yalifuta maonyesho. Hadi kufikia asubuhi, maelfu walikuwa wamekusanyika katika Bustani ya Syntagma katikati ya Athens, huku wakisimamiwa na askari wa kuzuia ghasia. Bango moja lilisoma: “Serikali ni wauaji.” Serikali ya mrengo wa kati-kulia ya Waziri Mkuu Kyriakos Mitsotakis ambayo ilishinda tena uchaguzi baada ya ajali ya mwaka 2023, imekabiliwa na ukosoaji mara tena kutoka kwa ndugu wa wahanga kwa kushindwa kuanzisha uchunguzi wa bunge ikiwa ni kuwajibika kisiasa. Serikali imekanusha kufanya makosa yoyote na kusema ni juu ya mahakama kuchunguza ajali hiyo. - Reuters #athens #ugiriki #ajali #treni #mahakama #mgomo #wafanyakazi #ndege #majini #treni
Maelfu ya watu wakusanyika miji mbalimbali kushinikiza haki ifanyike
- 16 Jun 2025 - The suspects — Gin Ammitou Abwao, Collins Karani Ireri, and Brian Mwaniki Njue — were detainees at Nairobi’s Central Police Station at the time Ojwang’ was held there. Authorities allege the three were used by police officers to torture Ojwang’, leading…
- 16 Jun 2025 - The company at the centre of the storm is Pro Line Travel Advisors Limited, which promised lucrative job placements in countries such as Canada and Sweden. Instead, victims allege they were handed fake documents, empty promises, and, in some cases, not…
- 16 Jun 2025 - The Quality Healthcare and Patient Safety Bill, which is now open for public participation, seeks to overhaul regulation of healthcare delivery in Kenya by enforcing uniform standards, strengthening patient rights, and ensuring accountability across…
- 16 Jun 2025 - Speaking during a church fundraiser in Kisumu County, Governor Wanga — who also serves as the ODM National Chairperson — described Ojwang’s death as “an outrage” and a setback to the broad-based government’s pledge to end extrajudicial killings.
- 15 Jun 2025 - In a statement posted on his official X account on Sunday, Kindiki acknowledged Kalonzo's decision to decline his invitation to work with the government, saying he respected it—but issued a stern warning against what he called "unprovoked falsehoods."
- 15 Jun 2025 - The deceased, identified as Calvince Omondi Onditi, was apprehended by the area chief at around 3 a.m. on Sunday after reportedly being found in a goat pen in a homestead near Ndhuru Trading Centre.
- 15 Jun 2025 - The President said the government, in partnship with the World Bank, will provide KSh50,000 to 70 small business owners - a total of KSh3.5 million - in each of the country’s 1,450 wards.
- 15 Jun 2025 - Speaking on Sunday during a Church Service at AIC Nairagie Enkare in Narok East, Narok County, the DP encouraged citizens to be patriotic and peacefully co-exist for the nation to prosper.
- 15 Jun 2025 - NA Speaker Wetang'ula says a decision by China to declare duty and quoter free on all food imports from Kenya would spur economic growth.
- 15 Jun 2025 - National Assembly Speaker Moses Wetang’ula says a decision by China to declare duty and quoter free on all food imports from Kenya would spur economic growth. Speaking in Kakamega County Wetang’ula said the move is extremely beneficial to our country’s…