Mafahali wa Kariakoo

  • | BBC Swahili
    19,034 views
    Joto linazidi kupanda nchini Tanzania kuhusu pambano maarufu la soka la watani wa jadi, Yanga na Simba lililopangwa kufanyika Juni 15 jijini Dar es Salaam. - Mamlaka za soka zinasisitiza pambano kufanyika huku Yanga ikisema haichezi, ikipinga inachokiita mchezo wa awali wa Machi 8 kuaihirishwa kiholela. - Sasa tuangalie badhi ya maamuzi magumu yaliyowahi kufikiwa kuhusu Yanga ama Simba ndani ya miaka 20 - - - 📸@simbascofficial 📸@Young Africans Sports Club #bbcswahili #michezo #soka#simba#mpira #yanga Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw