Skip to main content
Skip to main content

Mafuriko yaua watu 13 Ghana

  • | BBC Swahili
    5,868 views
    Duration: 36s
    Takriban watu 13 wamefariki dunia katika mji mkuu wa Ghana, Accra, baada ya mvua kubwa kusababisha mafuriko makubwa. Serikali imewataka wananchi kubaki majumbani iwapo ni salama kufanya hivyo na kuwa katika maeneo ya juu ili kujinusuru na mafuriko. - - #bbcswahili #ghana #mafuriko Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw