Serikali imethibitisha kujitolea kwake kutekeleza kikamilifu mkataba wa kitaifa wa wanawake, ikiahidi kwamba ahadi zote za serikali za kuwainua wanawake zitatimizwa ifikapo mwaka ujao. Akizungumza huko Gem wakati wa uzinduzi wa uwezeshaji kiuchumi katika kaunti ya Siaya, katibu wa huduma za watoto Carren Ageng’o alisema kuwa masuala ya wanawake yanapewa kipaumbele na serikali ya kitaifa. Taarifa zaidi ni kwenye dira ya kaunti.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive