Skip to main content
Skip to main content

Magavana vs Maseneta: Spika Kingi aita kikao, IG aahidi kuchukua hatua

  • | Citizen TV
    1,165 views
    Duration: 2:55
    Spika wa bunge la seneti Amason Kingi sasa ameitisha kikao kati ya magavana na maseneta kutatua mgogoro uliobuka kuhusu ukaguzi wa raslimali za kaunti. Haya yakijiri huku maseneta wanne waliotajwa kwa kuwahangaisha magavana na hata kudai hongo sasa wakimtaka Inspekta jenerali wa Polisi Douglas Kanja kuwakamata magavana wanaosusia vikao.