Skip to main content
Skip to main content

Mahakama yaamua Obure na mwenzake wana kesi ya kujibu ambapo wanakabiliwa na tuhuma za ulaghai

  • | Citizen TV
    211 views
    Duration: 52s
    Mahakama ya Kibera imeamua kwamba mfanyabiashara Chris Obure na mshtakiwa mwenza wana kesi ya kujibu dhidi ya mashtaka ya ulaghai kwa mujibu wa ithibati na ushahidi uliopo.