- 60 viewsDuration: 3:01Ni afueni kwa wakaazi wa kaskazini mwa nchi baada ya uzinduzi rasmi wa makao ya kuwanusuru watoto wanaokabiliana na dhulma za kijinsia, ikiwemo ukeketaji na ndoa za mapema. Makao hayo yamezinduliwa kwa mara ya kwanza katika eneo la Loglogo, eneo bunge la Laisamis kaunti ya Marsabit. Mwanahabari wetu Bonface Barasa anaarifu zaidi.