Skip to main content
Skip to main content

Makuli wa bandari Mombasa wasema watabuni mkataba mpya

  • | Citizen TV
    472 views
    Duration: 2:42
    Chama cha makuli kimedokeza kuwa kitabuni mkataba mpya na halmashauri ya bandari unaonuia kulinda maslahi ya wafanyakazi. Wakiongozwa na katibu wa chama hicho Sulman Owuor, viongozi hao wamesema kwamba muda wa mkataba uliopo ulikamilika mwaka wa 2023, na hivyo ipo haja ya kubuni mkataba mpya utakaozingatia maslahi ya wafanyakazi ikiwemo nyongeza ya mishahara