- 639 views
Mamia ya wanafunzi wenye umri wa chini kutoka kwa familia zenye uhitaji walikosa ufadhili na ufadhili wa serikali kwa sababu ya kuwa na umri mdogo. Wanafunzi wa mwaka wa kwanza kutoka vyuo vikuu mbalimbali nchini bado hawajastahiki usaidizi wa serikali hadi watakapopata vitambulisho vyao. Wanafunzi hao ambao wengi awakuweza kuandika mitihani yao ya mwisho wa muhula kutokana na mabaki ya karo wanaituhumu serikali kwa kuvunja ahadi yake kuwa hakuna mwanafunzi atakayekosa ufadhili wa serikali Lakini kama Mary Muoki anavyoripoti, Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya mikopo ya elimu ya juu Charles Ringera hata hivyo anasema bodi ilipokea maombi 26,000 ya mkopo kutoka kwa waombaji wenye umri mdogo na wote wamepokea ufadhili wao wa masomo, isipokuwa kesi chache ambazo wanashughulikia kutatua.
Mamia ya wanafunzi wenye umri wa chini kutoka familia zenye uhitaji wakosa ufadhili wa masomo
- - LIVE | TV47 Matukio ››
- 18 May 2024 - The United Democratic Alliance (UDA) party is conducting its second phase of grassroots election in all the 40 wards within Homa Bay County today (Saturday).
- 18 May 2024 - A US Supreme Court justice faced calls on Friday to recuse himself from cases involving Donald Trump after an inverted American flag -- a symbol of the former president's false election fraud claims -- was flown outside his home.
- 18 May 2024 - The head of Canada's Security Intelligence Service warned Canadians against using video app TikTok, saying data gleaned from its users "is available to the government of China," CBC News reported on Friday.
- 18 May 2024 - The recent ripples caused by the Limuru III continue to vibrate across the region, its influence mirrors Sagana which gained popularity as a venue of political interest.
- 18 May 2024 - Last week South Africa asked for additional emergency measures to protect Rafah.
- 18 May 2024 - Ghana's parliament, which has been adjourned since March following a row between the speaker and the president over an anti-LGBT bill, will reconvene on Friday to discuss approval of ministerial appointees and other "urgent matters".
- 18 May 2024 - Waititu lists people from Mt Kenya region he says can take over from President Ruto in 2027.
- 18 May 2024 - US Central Command said aid trucks had begun moving ashore at about 09:00 local time (07:00 BST) on Friday.
- 18 May 2024 - According to the initial plan, the project is projected to cost Ksh4 billion.
- 18 May 2024 - Puzzle of 2,000 absentee pupils in flood-ravaged Mai Mahiu school