Maombi katika mnara yakisema Papa Francis apone kwa haraka
Vatican imesema kwamba kiongozi wa kanisa katoliki Papa Francis anaweza kuamka na kula kiamsha kinywa.
Francis, mwenye umri wa miaka 88, anaugua homa ya mapafu na maradhi mengine ambayo yameathiri hali ya kupumua.
Vatican imesema jana alhamisi kwamba afya ya Papa imeimarika kidogo na moyo wake unafanya kazi vyema, lakini wamesema itachukua muda kujua iwapo dawa anayopewa inafanya kazi.
Madaktari wamesema kwamba mgonjwa mwenye umri mkubwa kama Papa Francis, huenda akachukua hadi wiki mbili kupona Nimonia.
Francis alilazwa katika hospitali ya Gemelli mjini Rome, Februari 14. - Vyanzo mbalimbali
#papa #papafrancis #hospitali #kanisakatoliki #voa #voaswahili #buenosaires #argentina
30 Apr 2025
- The MCA is part of the numerous residents that have been the latest targets.
30 Apr 2025
- The new fees could prompt an increase in the prices of commodities.
30 Apr 2025
- Motorists have been urged to cooperate with traffic marshals who will be present on site.
30 Apr 2025
- Kenya’s revised foreign policy is designed to address the interests of citizens and reposition Kenya's foreign engagements on the dynamic global landscape, Prime Cabinet Secretary Musalia Mudavadi has said.
30 Apr 2025
- President William Ruto’s State Visit to China saw more than 20 trade agreements and memoranda of understanding signed, that aim at improving various sectors of the economy.
30 Apr 2025
- The Climate Reality Project, a climate-focused nonprofit founded by former U.S. Vice President Al Gore, is set to host an in-person training event in Nairobi in June.
30 Apr 2025
- President William Ruto has praised the increased contributions to the National Social Security Fund (NSSF) as a step toward the country’s financial security.
30 Apr 2025
- The MCA is part of the numerous residents that have been the latest targets.
30 Apr 2025
- The new fees could prompt an increase in the prices of commodities.
30 Apr 2025
- President William Ruto has reaffirmed his commitment to transforming Kenya. He underscored his mission to implement lasting changes for the nation’s development. Speaking in Karen, Nairobi, during the installation of Dr Benard Chitunga as the Chancellor…
30 Apr 2025
- Motorists have been urged to cooperate with traffic marshals who will be present on site.
30 Apr 2025
- High Court Judge Bahati Mwamuye has declared a protest ban issued by former Nairobi Police Commander Adamson Bungei during the 2024 anti-tax demonstrations illegal and unconstitutional.
30 Apr 2025
- Justice Bahati Mwamuye issued the order in a case filed by the Law Society of Kenya (LSK), which had petitioned the court following the killing of Rex Masai during a protest.