- 248 viewsDuration: 2:58Maonyesho ya kilimo ya mwaka huu ya kaunti ya Makueni yaingia siku yake ya pili hii leo katika uwanja wa maonyesho mjini Makindu. ukulima unaozingatia mbinu za kisasa hasa za kusaidia kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi wapewa kipaumbele kwenye maonyesho hayo.