- 371 views
Maonyesho ya utalii ya mwaka huu katika Bustani ya Uhuru Gardens yalitamatika Ijumaa kwa mtindo baada ya AirAsia X kuzindua safari za moja kwa moja kutoka Kuala Lumpur, Malaysia, hadi Nairobi, Kenya, kwa ushirikiano na Bodi ya Utalii ya Kenya (KTB). Hatua hii imepokelewa vyema na wadau wa sekta ya utalii nchini, huku Afisa Mkuu wa VIUTRAVEL, Felix Musa, akieleza kuwa idadi ya watalii kutoka bara Asia na ukanda wa Ghuba itaongezeka kwa kiasi kikubwa. Kenya inalenga kuvutia watalii milioni tano ifikapo mwaka 2027.
Maonyesho ya utalii yakamilika Uhuru Gardens, jijini Nairobi
- 6 Jul 2025 - Japan's government on Saturday warned of more possible strong earthquakes in waters southwest of its main islands, but urged the public not to believe unfounded manga comic-book predictions of a major disaster.
- 6 Jul 2025 - Traders affected by the recent demonstrations held in honour of victims of last year’s anti-Finance Bill protests are now struggling to rebuild their lives and livelihoods.
- 6 Jul 2025 - Deputy President Kithure Kindiki and other leaders backing the broad-based government have intensified attacks on the opposition, calling for unity to heal the nation.
- 6 Jul 2025 - The High Commission of Rwanda in Kenya has marked 31 years of liberation — a commemoration of the country’s remarkable transformation, from a painful past under an oppressive regime to a future defined by unity, progress, and resilience.
- 6 Jul 2025 - Mr President you risk bringing idolatry in church, State House
- 6 Jul 2025 - Kenya today: An angry nation sliding towards self-destruction
- 6 Jul 2025 - 35 years later, Saba Saba continues: Meeting of different generations, same script
- 6 Jul 2025 - Parliament's CDF coup: The Senate should halt this constitutional heist
- 6 Jul 2025 - Opposition leaders slam Ruto over state house church plans
- 6 Jul 2025 - Saba Saba's long harvest and why struggle is never wasted