Skip to main content
Skip to main content

Mapigano yazuka Kivu Kusini baina ya vikosi vya kijeshi vya DRC na wanamgambo wa M-23

  • | Citizen TV
    9,771 views
    Duration: 2:23
    Mapigano mapya yamezuka katika jimbo la kivu kusini mwa jamuhuri ya congo ambako vikosi vya kijeshi vya DRC vimekabiliana na wanamgambo wa m-23. Takriban watu 70 wakiripotiwa kuuawa baada ya vita hivyo. Mataifa ya drc na rwanda yamenyoosheana kidole cha lawama, kila mmoja akilamu mwingine kwa kukiuka makubaliano ya amani yaliyotiwa saini chini ya wiki moja iliyopita nchini Marekani.