Maporomoko ya udongo Hanang: Mwezi mmoja baada ya tukio hilo
"Yalisomba friji, viti vya ofisi yangu"
-
Happiness Malisa ni miongoni mwa wafanyabiashara walioshuhudia tukio zima la maporomoko ya udongo na mafuriko yaliyotokea katika wilaya ya Hanang mkoa wa Manyara nchini Tanzania mwanzoni mwa mwezi disemba mwaka 2023.
-
Anasema kuwa alishuhudia miili ya watu ikielea huku baadhi ya watu hao wakiwa ni ndugu na jamaa wa karibu.
-
Happiness anasema kwa sasa bado wana hofu licha ya miundo mbinu mizuri iliyowekwa na serikali na wanatamani kupata majibu kuhusu nini hasa kilitokea
-
Akiwa mjini Hanang Mwandishi wa BBC Eagan Salla alifanya mahojiano haya.
-
-
-
#bbcswahili #tanzania #hanag
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
27 Apr 2024
- According to Ruto, the radical revitalisation of the new monetary policy would contribute greatly to the country’s economic resurgence.
27 Apr 2024
- Mombasa has been projected to be a leading destination for tycoons in the next 10 years.
27 Apr 2024
- Controversy has surrounded UDA's first round of elections, with claims now emerging that a dead man has won in a constituency in Nairobi.
28 Apr 2024
- An earthquake of magnitude 6.5 struck Japan's Bonin Islands, the United States Geological Survey (USGS) said on Saturday.
28 Apr 2024
- Sierra Leone's Energy Minister Kanja Sesay resigned on Friday over a weeks-long electricity crisis, the same day the government announced it had paid some of the tens of millions of dollars it owed to energy providers.
28 Apr 2024
- A day after the recent United Democratic Alliance (UDA) party elections, candidates who were vying for seats in the just concluded polls have expressed concerns about suspected interference with the voting process.
28 Apr 2024
- Crisis looms as schools to reopen amid floods, interns strike threat
28 Apr 2024
- Teachers at the forefront of getting girls vaccinated against deadly virus
28 Apr 2024
- 76 people confirmed dead as a result of raging floods in last 12 hours
28 Apr 2024
- Widow recounts fond memories as Col Keitany is laid to rest
28 Apr 2024
- Crisis deepens as counties send home defiant medics
28 Apr 2024
- Ohio police released video of a Black man who died at a local hospital after repeatedly telling officers "I can't breathe" as they pinned him to the floor of a bar and handcuffed him, evoking memories of the killing of George Floyd in 2020.
28 Apr 2024
- Observers believe the demise of Ogolla has lost a nut of trust in Kenya Kwanza government.