Maporomoko ya udongo Hanang: Mwezi mmoja baada ya tukio hilo

  • | BBC Swahili
    569 views
    "Yalisomba friji, viti vya ofisi yangu" - Happiness Malisa ni miongoni mwa wafanyabiashara walioshuhudia tukio zima la maporomoko ya udongo na mafuriko yaliyotokea katika wilaya ya Hanang mkoa wa Manyara nchini Tanzania mwanzoni mwa mwezi disemba mwaka 2023. - Anasema kuwa alishuhudia miili ya watu ikielea huku baadhi ya watu hao wakiwa ni ndugu na jamaa wa karibu. - Happiness anasema kwa sasa bado wana hofu licha ya miundo mbinu mizuri iliyowekwa na serikali na wanatamani kupata majibu kuhusu nini hasa kilitokea - Akiwa mjini Hanang Mwandishi wa BBC Eagan Salla alifanya mahojiano haya. - - - #bbcswahili #tanzania #hanag Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw