Skip to main content
Skip to main content

Marehemu Raila Odinga atuzwa hadhi ya raia yenye taadhima kuu zaidi nchini

  • | KBC Video
    362 views
    Duration: 3:58
    Aliyekuwa waziri mkuu marehemu Raila Odinga ametunukiwa tuzo ya Chief of the Order of the Golden Heart, ambayo ni hadhi ya raia yenye taadhima kuu zaidi hapa nchini. Rais William Ruto akiongoza sherehe ya siku ya Mashujaa, alisema hadhi hiyo inatambua kujitolea kwa Raila maisha yake yote kwa ajili ya kujenga taifa hili. Ruto alimuomboleza Raila kuwa shujaa aliyeitakia nchi hii makuu. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive